'Watanzania taifa lisilo na utamaduni wao ni sawa na watumwa' - Nyerere.. By Deus Bugaywa

"Mtoto anayemaliza darasa la Saba leo anajengwa zaidi fikra kwa mtazamo wa magaribi na aina ya maisha anayoyaona mjini kama ni wa kijijini, au kwenye luninga.. Sehemu pekee ambayo ingeweza kujenga Utanzania wa mtoto huyu ni Shuleni amabako ilitarajiwa kama taifa lililo huru, linajenga moyo wa uzalendo na utaifa kwa watu wake" - By Deus Bugawaya

No comments:
Post a Comment